Kupitia mitandao kumekuepo watu ambao wamekua wakitimia majina ya watu maarufu kufanya utapeli, Baadhi ya watu ambao majina yao yamekua yakitumika ni Wema Sepetu, Flavin Matata na sasa Mh: Zitto pamoja nataasisi zingine. Mh Zitto atoa rai kwa jamii kua watu hao ni matapale na ameomba vyombo vya dola viwachukulie watu hao hatua.
No comments :
Post a Comment