Top News

Wednesday, March 27, 2013

ZITTO AFUNGUKA KUHUS TAARIFA ILIYOTOLEWA NA GAZETI LA MTAZANIA " JUU YA KUUAWA KWAKE"


Leo jumatano gazeti la Mtanzania limepambwa na sura inayosema SIRI YA KUUAWA ZITTO YAFICHUKA"  na kuwekwa vielelezo hivi.
*Yadaiwa ilipangwa anyweshwe sumu hotelini
*Dk. Slaa atajwa kumtuma Saanane kummaliza
*Mwenyewe akanusha, asema ni siasa chafu


                                 Na hii ndio kauli ya Zitto kupitia Mtandao wa twitter

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ