Top News

Thursday, April 11, 2013

HAWA NDIO MATAPELI WANAOTUMIA JINA LA MH: ZITTO KABWE KUTAPELI WATU "ZITTO KABWE FOUNDATION"

Hivi karibuni Mh: Zotto Kabwe aliwakanya wale wanaotumiajina lake kutapeli watu kwenye mtandao. Alisema
 Lakini matepeli hao wameendelea kufanya uhalifu huo kwa kuendelea kutumia jina la Mh Zitto kutapeli watu. huku wao wkijifafanua kua wanahusika  na mikopo  
kama wanavyo jieleza hapa
Asasi hii imeundwa na Mh. Zitto kabwe MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI ikiwa chini ya udhamini wa Bank za NMB, CRDB pamoja na Mobile Banking zinazotoa huduma za kifedha TIGOPESA na M-PESA. Asasi hii ni mpya imeanzishwa rasmi mwaka 2013 kupitia udhamini wa chama cha ADVOLTICY LOANS kilichopo marekani kinachojihusisha na utoaji mikopo! Zitto Kabwe aliweza kupata miswada ya kifedha toka kwa wadhamini wa kuu nchini marekani na alipatiwa kiasi cha Shilingi Million mia tano kama msingi wa kumuwezesha kuanzisha Asasi hii ya kifedha ili kuwasaidia watanzania.
Asasi hii imeundwa na Mh. Zitto kabwe MBUNGE WA KIGOMA KASKAZINI ikiwa chini ya udhamini wa Bank za NMB, CRDB pamoja na Mobile Banking zinazotoa huduma za kifedha TIGOPESA na M-PESA. Asasi hii ni mpya imeanzishwa rasmi mwaka 2013 kupitia udhamini wa chama cha ADVOLTICY LOANS kilichopo marekani kinachojihusisha na utoaji mikopo! Zitto Kabwe aliweza kupata miswada ya kifedha toka kwa wadhamini wa kuu nchini marekani na alipatiwa kiasi cha Shilingi Million mia tano kama msingi wa kumuwezesha kuanzisha Asasi hii ya kifedha ili kuwasaidia watanzania.
Hivi ndivyo wanavyo tapeli watu




Matapeli hao waliendelea kujifafanua kama
Asasi hii itahusika na utoaji mikopo kwa kila mtanzania pekee alie mkoa wowote ule ndani ya Tanzania na kwa kipindi hiki mikopo itakua ikitolewa kwa njia ya mtandao (Online) ili kurahisisha upatikanaji wa mikopo hii kwa kila mtanzania pia kulingana na udogo wa asasi hii kwani ndio kwanza imeanzishwa hivyo matawi yake bado hayajaenezwa katika mikoa yote Tanzania na mpaka hivi sasa inajumla ya wanachama 3472 waliojiunga na wakapatiwa mikopo ya pesa. Angalizo kwa vijana nafasi za ajira zitapatikana katika asasi hii pindi matawi yatakapo anza kuenezwa watatakiwa vijana kama mawakala na wafanya kazi wa matawi hayo yatakayowekwa na asasi hii na ajira zitatolewa kwa watakaojiunga na Asasi hii.
Na hawa ndio baadhi ya walio Comment Post hiyo hapo juu iliyotumwa na matapeli hao wakidai kuna nafasi ya biashara karibu na Bunge

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ