Kanisa Katoliki nchini linaloongozwa na Muadhama Polycarp Kadinali
Pengo, liliizuia filamu hiyo kwa kile kilichodaiwa kuwa ilikuwa
ikionesha udhalilishaji kwa namna ambavyo watawa wamevaa mavazi mafupi.

Ray amebainisha kuwa baada ya kuambiwa achomoe vipande vingi kwenye filamu hiyo, ameona ni bora kuachana nayo kwani hata akitoa haitaleta maana hivyo atakujairudia upya wakati mwingine. “Asilimia 85 ya filamu niliigizia kanisani na ndivyo walivyosema niviondoe, sina ujanja kwa sasa nimeanza kushuti filamu nyingine kabisa ile labda nije kuirudia upya hapo baadaye,” alisema Ray.
No comments :
Post a Comment