Idadi hyo inafanya Tanzania kua nchi ya 94 duniani kwa utumiaji wa mtandao huo wakijamii. Takwimu hizo zinaonyesha asilimia 71 ni wanaume na asilimia 29 ni wanawake.
Kundi kubwa la watumiaji facebook tanzania ni wale wenye umri kati ya miaka 18-24 ambayo idadi yao ni 295,020 wakifuatiwa na wale wenye umri kuanzia 24-34
No comments :
Post a Comment