Top News

Monday, May 6, 2013

APEX BNEWS INAUNGANA NA WATANZANIA WOTE KUTOA POLE KWA WAHANGA WA MLIPUKO KANISA KATOLIKI OLASITI ARUSHA

Apex Bnews inaungana na watanzania Wote kuwapa pole wato walio jeruhiwa na mlipuko uliotokea jana katika kanisa katoliki Olasiti Arusha, Mungu awatangulie na kuwatia nguvu.
Pia Mungu azilaze roho za waliopoteza maisha Mahali pema peponi


Jana Tarehe 5 may kanisa Katolika la Olasiti Arusha  kulitokea mlipuko mkubwa  wa bomu wakati wa misa ya uzinduzi wa Parokia. Mpaka sasa watu zaidi ya 60 wameripotiwa kujeruhiwa na Wawili kupoteza Maisha. Bomu hilo lilirushwa na mtu asie julikana ila mpaka sasa hivi jeshi la polisi linawashikilia watu 3 wanoshukiwa kuhusika na tukio hilo.

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ