Top News

Thursday, May 2, 2013

DIAMOND ASHAMBULIWA NA MASHABIKI WAKE BAADA YA KUKOSEA KUANDIKA LUGHA YA KIINGEREZA

Wabongo kwa kukosoa hawajambo.. Katika pitapita yangu instagram kuna picha mkali Diamond Platnumz alipost (hiyo hapo juu), na hapo wakatokea watu kukosoa kingereza alichotumia huku wengine wakionekana kutetea. JAMANI ENGLISH si Lugha yetu jamani. angalia hapa chini watu walivyokua wakicomment

You might also like:

1 comment :

  1. Mbona nyie mnakosea lugha yenu ya kiswahili. Mnaposhindwa kutofautisha kati ya wimbo na nyimbo. Mtu anasema 'nyimbo yangu hii' hamumcheki - mnacheka mtu kukosea lugha ambayo si yake. Diamond usijisikie vibaya, hiyo lugha si yako wala haina ufahari zaidi ya ulimbukeni tu.

    ReplyDelete

Designed By ApexbnewZ