Top News

Saturday, May 11, 2013

MOSHI -ARUSHA "AJALI MAGARI YASHINDWA KUENDELEA NA SAFARI"

Mamia ya wasafiri toka mkoani Arusha kuelekea mikoa mingine kupitia barabara kuu ya Arusha - Kilimajaro wamekwama baada ya lori la mafuta kuanguka na kuziba kabisa barabara eneo la Kikatiti.

Wananchi wanachota mafuta bila kujali usalama wao.


BAADHI YA WANANCHI ENEO LA KIA WAKIJAZA MAGALONI YAO MAFUTA BAADA YA LORI LA MAFUTA KUPATA AJALI KATIKA ENEO HILO


IDADI KUBWA YA WANANCHI WAKIGOMBEA KUCHOTA MAFUTA,HII NI HATARI NA BADO HATUJAJIFUNZA KUTOKANA NA MATUKIO YA AINA HII AMBAYO YALISHAGHARIMU MAISHA YA WATANZANIA WENGI SANA MKOANI MBEYA



FOLENI ENEO LA AJALI




WENGINE WALIKUWA MASHUHUDA TU



ASKARI WA KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI AKIPIMA AJALI



MABASI YA ABIRIA YALIKWAMA KWA MUDA ENEO LA TUKIO

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ