Top News

Sunday, May 19, 2013

PICHA: HALI YA VURUGU ZA MACHINGA NA POLISI ILIVYOKUA IRINGA

 Polisi  wakipita  eneo la Mashine  tatu asubuhi  hii

 Abiria  na  wapiga  debe  stendi kuu  wakinawa maji baada ya  kupigwa mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha  na askari  wa FFU leo

 Mmiliki  wa mtandao huu mzee wa matukio  daima akinawa maji baada ya  kupigwa  bomu la machozi

 Hali  ikiendelea  kuwa  tete  kwa machinga  kufunga barabara  kuu  ya  Iringa  Dodoma na ile ya mashine  tatu 

Ni Machafuko  Iringa  hivi  leo






No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ