Top News

Friday, May 3, 2013

UPDATE: KutokaBUNGENI MATOKEO KIDATO CHA NNE 2012 YAFUTWA NA KUSAHIHISHWA UPYA

Lukuvi anawasilisha taarifa ya tume iliyoundwa na waziri mkuu kuchunguza sababu za kufeli vibaya kwa watajiniwa wa form 4. Na mapendekezo ya nn kifanyike.

Anasema sababu zilizotolewa ni upungufu wa waalimu, mazingira magumu a kufundishia, idadi kubwa ya shule za sekondari iliyopelekea idadi kubwa ya watahiniwa.
Matokeo ya kidato cha nne ya mwaka 2012 yafutwa na baraza linasahisha upya na kuwepo kwa standadization ili watoto wafaulu.....
by William Lukuvi kwa niaba ya Waziri Mkuu bungeni leo
Ripoti iliyosomwa hivi sasa bungeni imeyafuta rasmi matokeo ya kidato cha nne. Serikali imeliagiza baraza la mitihani kutumia vigezo vilivyotumika 2011 ili kusahihisha upya mitihani na kutoa matokeo mapya.

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ