Top News

Tuesday, June 18, 2013

HabariMpasuko: ARUSHA HALI NI TETE MABOMU KILA KONA

  • HALI tete katika jijini la Arusha muda huu,Polisi wanapiga mabomu ovyo,watu waliokuwa wamekusanyika katika Uwanja wa Soweto wakisubiri kuaga miili ya watu waliofariki dunia katika shambulio la kigaidi wametawanywa kwa mabomu.
  • Mbali na watu kutawanywa kwa mabomu hayo,Waziri Mkuu aliyejiuzuru Edward Lawassa amenusurika kufa huku gari lake likiharibiwa vibaya.
  • Polisi wameanza kupiga mabomu wakati wabunge wa CHADEMA walipoanza kuhutubia maelfu kwa maelfu ya wafuasi wake. Hali ni mbaya sana hata watu wametelekeza magari na pikipiki zao, wabunge wote nao wamekimbia na mbaya zaidi wanapiga mabomu kila mahali.
  • Hali ni tete, mabomu yanarindima sana hali ni tete magari ya mevunjwa gari la Lissu laharibiwa, pikipiki zinavunjwa na polisi bila sababu. Hali tete, tegemeeni msiba mwingine
  •  Wametumia risasi za moto kupiga watu, gari la Tundu Lissu limevunjwa vioo na jeshi la polisi. Wameumiza watu wengi sana! Hali ni mbaya sana!

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ