Top News

Wednesday, June 19, 2013

HALI YA NASARI YAZIDI KUA TETE AANDIKIWA RUFAA KUENDE MUHIMBILI. PIA WATU WASIOJULIKA WAPITA WADINI WAKITAFUTA ALIPO YAZUA UTATA KWA MANESI:


Nassari aandikiwa rufaa aende muhimbili kwa matibabu zaidi,lakini pia hali ya arusha sio shwari ikiwepo hospitali ya seliani ambapo wana usalama wasiojitambulisha wamezagaa wakijaribu kuingia kwenye baadhi ya wodi ikiwemo ya nassari hali iliyoletea mzozo kati yao na wauguzi na security ya hospitali.pia vurugu za polisi zidi ya raia.madakitari wameona dar ni bora zaidi.ofisi ya bunge inaratibu usafiri na matibabu .niko hapa seliani ndo wanamalizia utaratibu wa kumsafirisha maombi yenu ni muhimu katika kipindi hiki kigumu kwa wana arusha na watanzania wote.

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ