Baada ya mwana dada mrembo na mkali katika filam za kibongo Kajala Massanja kutoka rumande na kurudi mtaani, hivi sasa ameanza maisha mapya ya mtaani na hata kujikuta sasa akipata Tulizo la Moyo (Boyfriend) mahusiano yao yameanza kuonekana hivi karibuni na kushika kasi na kijana Huyo anaefahamika kama Petiman ambaye nae nirafiki mkubwa sana wa Wema.
No comments :
Post a Comment