Top News

Tuesday, June 25, 2013

KAMA UKUBALIANI NA KAULI YA PINDA KUHUSU KUPIGA RAIA SAINI HAPA

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA


Wito ni kuwataka wananchi wa Tanzania waandike na kuweka saini kumtaka mheshimiwa waziri mkuu kufuta kauli yake inayoruhusu polisi kupiga raia katika hotuba yake ya kufunga Bunge la bajeti tarehe 27 Juni 2013.

Naomba tufuate hii link hapa chini na ku-saini

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ