Akipiongea na mwandishi wetu, Baby alisema amechoshwa kusikia tambo za mpinzani wake huyo hivyo kama kweli ni mwanamke, wakutane kwa ngumi ili amuoneshe cha mtema kuni.
“Asiniambie mimi natafuta kiki, mimi ni msomi kuliko yeye, arudi shule au akauze vipodozi. Najua kuimba, kuigiza na ni msomi yeye anaweza hayo?
"Kimsingi naomba pambano nimtoe manundu.Nipo tayari kupigana naye ili nimshikishe adabu,” alisema Baby Madaha.
beef sio issue baby mmmhh tunauwa sanaa kwa kuendekeza haya
ReplyDelete