Kauli ya rais Kikwete ya kulaani kauli ya CHADEMA ya kuimarisha vijana wao wa Red Brigerd Ili kujilinda wenywe Imeendelea kuzua mjadala mzito, na hata wengine kusema Rais amejisahau kwani wao kama CCM wanao vijana wao wa Green Gaurd ambao huwatumia katika kujilinda sasa kwa nini hili la Chadema liwaumeze kichwa. Kama ni kulaani basi angeanaza na kundi lake la Green Guard.
No comments :
Post a Comment