HIVI NDIVYO NILIVYOSHUHUDIA AIRPORT YA NAIROBI IKIWAKA MOTO NIKIWA NJIANI KURUDI BONGO
![]() |
| Abiria wote wakiwa wanaamishwa kuelekea Hotelini...... |
![]() |
| Choka sana nishapamiss Bongo alafu haya ndo yanatokea nipo na mwanangu Moses Iyobo kuelekea Hotelini maana bado sijapata uhakika wa safari... |



![]() |
| Baada kama ya Lisaa hivi ya kukaa kwenye bus wameamua kutuleta hoteli maeneo ya huku huku Nairobi,Hoteli hii Inaitwa Panari(5star hotel) |

![]() |
| Mabegi yakiwa yamewekwa kwenye hali ya usalama kabisa..... |





![]() |
| Kiukweli ni jambo la kumshukuru Mungu kwangu mimi na Abiria wote kutuepushia na mabalaa yoyote tangu mwanzo wa safari hadi hapa tulipo na Mwenyezi Mungu akasimame nasi kutufikisha nyumbani salama... |
![]() |
| Kaa nami kwenye Blogsite yako ya kijanja zaidi ntazidi kukujuza kinachojiri huku na kujua chanzo cha moto huu..... |














No comments :
Post a Comment