Top News

Thursday, August 29, 2013

Hii Ndio Post ya Ray C Instagram Ikimuonyesha akibatizwa ikifuatiwa na Maneno " Shetani huna tena nafasi katika maisha yangu"

 

Yule dada yetu msanii maarufu wa nyimbo za bongo fleva  leo hii amewaka bayana ya kuwa yeye na shetani sasa ni paka na panya. Ray C amethibitisha hayo katika post zake za instagram. 


No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ