Sunday, July 13, 2025

Monday, August 12, 2013

Hivyo ndivyo mwanadada Wastara alivyosherehekea sikukuu ya Eid.






    • Mwanadada Wastara aliamua kusherehekea sikukuu ya Eid kwa kuamua kwenda kutembelea kaburi la mumewe Marehemu Juma Kilowoko (Sajuki) kwenye makaburi ya kisutu jijini Dar es salaam
      Tukio hili lilitokea siku ya ijumaa iliyopita , siku ya Eid mosi ambapo mwanadada huyo alionekana katika picha mbalimbali akifanya usafi kaburini hapo.
      “Sikukuu yangu nimeitendea haki sana kwa kwenda kuzuru kaburi la mume wangu, alhamdullilah nimefarijika sana, kimwili siko naye ila atabaki kuwa fikrani mwangu…Alisema Wastara.

      No comments :

      Post a Comment

      Designed By ApexbnewZ