Top News

Thursday, August 29, 2013

Majambazi wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo

Watu wanaodhaniwa kuwa ni Majambazi wamevalia sare za Jeshi la Polisi wamevamia Habib Afriican Bank Kariakoo DSM na kupora kiasi kikubwa cha Fedha. Jeshi la polisi kanda maalum wamethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

ITV

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ