Top News

Thursday, September 19, 2013

Agness Gerald aka Agness Masogange Ameachiwa Huru Huko South Africa



Video queen maarufu Tanzania Agness Gerald aka Agness Masogange au Eggy ambaye alikamatwa huko South Africa kwa tuhuma ambazo ziliripotiwa kuwa ni kusafirisha mzigo wa dawa za kulevya ameachiwa huru huko South Africa. Agness alikamatwa na mdogo wake.

Taarifa mpaka sasa kutoka kwenye facebook yake na account yake ya instagram zinaonyesha kuwa ameachiwa huru kutoka polisi.

Kurasa yake ya facebook ilikuwa kimya toka mwezi wa saba na juzi 17 September 2013 Agness aliandika status mpya. Ziko Hapa

Na Kwenye Instagram Yake Aliandika Hivi.


No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ