Top News

Friday, October 11, 2013

Hii Ndio noti mpya ya $100 iliyoanza kutumika Marekani

Kutokea katika mtandao wa kimataifa unaojulikana kama Voice Of America VOA october 9 ulitangaza rasmi kuwa noti mpya ya dola Mia ($100) za kimarekani ni imekwisha anza kutumika rasmi.
Utengenezaji wa noti hizi mpya ni umetengenezwa maalumu ili kukabiliana na wimbi la ongezeko la noti za Bandia.

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ