Shirika la Viwango (TBS) limetangaza orodha ya bidhaa 48 ambazo
hazitakiwi kuwepo sokoni kutokana na muda wa kuitumia nembo ya kampuni
hiyo katika bidhaa zao kumalizika na wahusika kushindwa...
Jamaa fulani alikuwa na
tabia ya kujamba kwa
nguvu kila aamkapo
asubuhi. Mkewe alikerwa
sana na tabia hiyo,
alimkataza akachoka, siku
moja akamwonya kuwa iko
siku badala ya ushuzi,
utumbo utakuja...
Kwa mujibu wa http://swahilitv.blogspot.com/ Davis Mosha ameinunua hii Maserati July 28 2013 huko Houston Texas Marekani.
Maserati ni gari la kifahari la Kiitaliano...
Member of Parliament CV
GENERAL
Salutation
Honourable
Member picture
First Name:
Idd
Middle Name:
Mohamed
Last Name:
Azzan
Member Type:
Constituency...
Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, jijini Dar es Salaam kwa tiketi ya CCM,
Iddi Azzan, aliyetajwa kwenye barua inayosadikiwa kuandikwa na wafungwa
Wakitanzania waliopo Hong Kong “amejilisalimisha”...
MHITIMU WA MAFUNZO YA AWALI YA ASKARI POLISI AKIJIANDAA KUVUNJA VIGAE KWA KUPIGA NGUMI JANA MJINI MOSHI ALIPOKUA AKIFANYA ONYESHO LA UKAKAMAVU WAKATI WA SHEREHE ZA KUFUNGA MAFUNZOYALIYOJUMUISHA...
Channel 197 & 198 za DSTV zimeendelea kutoa huduma ya kutazama bure washiriki wa Afrika wanaozifukuzia dola laki moja za shindano la Big Brother Afrika 2013 The Chase ambapo Tanzania ilikua...
Davis
Mosha "The Boss" akifanya mahojiano na kituo cha VOA jijini Washington
DC, kulia ni mwanae Edgar Mosha mwanafunzi mwenye kipaji cha masomo na
soka.
Edgar
Davis Mosha...
Nimestushwa sana na stori ya gazeti la Mtanzania inayodai kuninukuu kuwa
nimesema wazee waliopendekeza serikali tatu wanasubiri kufa!
Kwakweli nimesikitishwa sana hata na jinsi maneno ndani yalivyopangiliwa
...
Jeshi
la Wananchi, Polisi, Uhamiaji na vyombo vingine vya usalama pamoja na
baadhi ya wanasiasa na wafanyabiashara maarufu nchini wametajwa
kujihusisha na biashara haramu ya madawa kulevya...