Home
About
Contact
Sunday, April 06, 2025
Home
DailynewZ
Siasa
Music Audio & Video
Tecknology
Vichekesho
Navigation
Home
DailynewZ
Siasa
Music Audio & Video
Tecknology
Vichekesho
Top News
>>
Akamatwa Julias Nyerere Airport Na Madawa ya kulevya yaliokua kwenye nguo alizo vaa
>>
Download OXS Okeleky Ft NattY E and Mo Music _ Basi Nenda Remix
>>
Picha: Serengeti Fiesta Mwanza CCM Kirumba Ilivyo Fana
>>
Download Shodady Ft Bob Junior _ Mapenzi Ya Lawama
>>
Download Suma Mnazaleti Ft. Roma Mkatoriki - Mnazaleti Mkatoriki
>>
Download AT - Sitaki Kusemwa
Monday, August 4, 2014
Msimu mpya wa Serengeti Fiesta wazinduliwa
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serenget
i Breweriers SBL Bw. Ephraim Mafuru akizungumza na HAwahariri wa vyombo vya habari pamoja na waandishi wakti wa uzinduzi wa Msimu mpya wa Serengeti Fiesta 2014 kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki ambapo uzinduzi rasmi wa matamasha hayo utSerengeafanyika mkoani Mwanza tarehe 8 Agosti 2014 kauli mbiu ya Serengeti Fiesta mwaka huu ni “Sambaza Upendo” bia ya Serenget
i ndiyo mdhamini mkuu wa maonyesho hayo.
(
PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGAWE-DAR ES SALAAM)
Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti SBL Bw Allan Chonjo akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla hiyo, kushoto ni Meneja wa bia ya Serengeti Lager Bwana Rodney Rugabwa.
Mkurugenzi wa kampuni ya SCANAD Bi. Betty Addero Radier kulia akipozi kwa picha na Bw. Abdalla Singano Kampuni ya PR ya Abstract ya jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serenget
i Breweriers SBL Bw. Ephraim Mafuru kulia akizungumza na
Mkurugenzi wa kampuni ya SCANAD Bi Betty Addero Radier kushoto na Bw. Abdalla Singano Kampuni ya PR ya Abstract ya jijini Dar es salaam.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyo
Baadhi ya waandishi wa habari wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo.
Mhariri mkuu wa chumba cha habari Radio Clouds Bi. Joyce Shebe katikati akiwa na wanahabari wenzake wa Clouds Radio.
Evance Mlelwa Mkurugenzi Masuala ya Kampuni akizungumza katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serenget
i Breweriers SBL Bw. Ephraim Mafuru wa pili kutoka kulia
Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti SBL Bw Allan Chonjo kulia Evance Mlelwa Mkurugenzi wa Masuala ya Kampuni kushoto na Meneja bia ya Serengeti Lager Bw. Rodney Rugambwa wakionyesha bia za kampuni hiyo wakati wa hafla hiyo ya kuzindua msimu wa Serengeti Fiesta 2014.
Share !
Tweet
Related Posts
Diamond na Lady Jay Dee Washinda Tu...
Akamatwa Julias Nyerere Airport Na ...
Picha: Serengeti Fiesta Mwanza CCM ...
No comments :
Post a Comment
Subscribe to:
Post Comments ( Atom )
Designed By
ApexbnewZ
No comments :
Post a Comment