Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers SBL Bw. Ephraim Mafuru akizungumza na HAwahariri wa vyombo vya habari pamoja na waandishi wakti wa uzinduzi wa Msimu mpya wa Serengeti Fiesta 2014 kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki ambapo uzinduzi rasmi wa matamasha hayo utSerengeafanyika mkoani Mwanza tarehe 8 Agosti 2014 kauli mbiu ya Serengeti Fiesta mwaka huu ni “Sambaza Upendo” bia ya Serengeti ndiyo mdhamini mkuu wa maonyesho hayo.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGAWE-DAR ES SALAAM)Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti SBL Bw Allan Chonjo akizungumza na wageni waalikwa wakati wa hafla hiyo, kushoto ni Meneja wa bia ya Serengeti Lager Bwana Rodney Rugabwa.Mkurugenzi wa kampuni ya SCANAD Bi. Betty Addero Radier kulia akipozi kwa picha na Bw. Abdalla Singano Kampuni ya PR ya Abstract ya jijini Dar es salaam.Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers SBL Bw. Ephraim Mafuru kulia akizungumza na Mkurugenzi wa kampuni ya SCANAD Bi Betty Addero Radier kushoto na Bw. Abdalla Singano Kampuni ya PR ya Abstract ya jijini Dar es salaam.Baadhi ya wageni waalikwa wakiwa katika hafla hiyoBaadhi ya waandishi wa habari wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo.Mhariri mkuu wa chumba cha habari Radio Clouds Bi. Joyce Shebe katikati akiwa na wanahabari wenzake wa Clouds Radio.Evance Mlelwa Mkurugenzi Masuala ya Kampuni akizungumza katika hafla hiyo.Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers SBL Bw. Ephraim Mafuru wa pili kutoka kulia Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti SBL Bw Allan Chonjo kulia Evance Mlelwa Mkurugenzi wa Masuala ya Kampuni kushoto na Meneja bia ya Serengeti Lager Bw. Rodney Rugambwa wakionyesha bia za kampuni hiyo wakati wa hafla hiyo ya kuzindua msimu wa Serengeti Fiesta 2014.
No comments :
Post a Comment