Christina (katikati)
Utajiskiaje
kuona Beyonce akiwa amevaa vazi lililotengenezwa kwa kanga yenye maneno
ya Kiswahili? ‘Wawili Ninyi Yawahusu….’ yanasomekana maandishi kwenye
vazi alilolivaa...
Baada ya mwana dada mrembo na mkali katika filam za kibongo Kajala Massanja kutoka rumande na kurudi mtaani, hivi sasa ameanza maisha mapya ya mtaani na hata kujikuta sasa akipata Tulizo la Moyo...
Mwanamitendo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amemwanika mwanaume
mpya mtandaoni huku wakiwa wamepozi katika staili ya wapendanao.
Awali, paparazi wetu alitonywa na sosi aliyeomba hifadhi...
KALA JEREMIAH
Msanii
wa muziki wa Rap na mshindi wa tuzo 3 za Killi Music Awards Kala
Jeremiah ametangaza dau kwa shabiki yake atakayeweza kupiga picha mfano
wa hiyo hapo juu pindi atakapofikisha...
Nyota wa tasnia ya filamu , Jaqueline Wolper ‘Wolper Gambe’ amedai kuwa hawapendi sana wanaume wenye
fedha kwani wengi wao ni waume za watu...
Wolper anadai kuwa nao si rahisi
kuonyeshwa mapenzi...