Top News

Saturday, July 13, 2013

HII NDIO VIDEO YA MBUNGE OLE MEDEE AKIWAHAMASISHA WAMASAI KUWAFUKUZA WACHAGA ARUSHA


Kulikuwepo na thread humu JF juu ya maandalizi kabambe ya mkutano wa wazee wa kimasai ulikuwa ukiandaliwa na Mkuu wa mkoa wa Arusha Magesa Mulongo, Edward Lowasa na Ole Medee. Leo ndiyo mkutano huo ulifanyika kwenye uwanja wa Technical College na kuhudhuliwa na wazee wa kimasai na Ole Medee mwenyewe. na haya ndiyo maazimio ya mkutano huo:
-kamwe kuanzia sasa balozi, wenyeviti wa vitogoji,mbunge,meya na nafasi zote za juu hapa mkoani Arusha kamwe wasipewe Wachaga au kabila lolote.
-kutokuwauzia viwanja/machamba wachaga.
-Wachaga waondoke warudi kwao Moshi.

yaliyofanyika leo hatupaswi kuyafumbia macho kama kweli watanzania tunalipenda taifa hili kwaani baada ya waziri, mkuu wa mkoa na pacha wa Kikwete(Lowasa) kuratibu mambo maovu kiasi hiki kwenye taifa letu, Leo wachaga wanaambiwa watoke Arusha waende moshi na waziri, je nao wamasai watoke moshi na kote tanzania warudi Arusha!? Kweli CCM mnaliangamiza taifa hili..
Nukuu za baadhi ya wasemaji waliokuwa wameandaliwa na Lowasa, Medee na Mulongo
" HUYU MWENYE LUBEGA NYEKUNDU ANASEMA KWAMBA HAIWEZEKANI TENA TUKAONGOZWA NA WACHAGA NDANI YA JIJI LETU LA ARUSHA NA HATA SIKU MOJA MEYA WA MJI WOWOTE NI LAZIMA AWE NI MZAWA NA WATAHAKIKISHA TUNA WEKA MTU TUNAYEMTAKA SISI.
HATUTAKI TENA MAMBO YA UONGOZI WA KICHAGA KUANZIA UONGOZI KIJIJI KATA NA HATA MKOA TOFAUTI.
TANGU LINI UONGOZI WA MEYA AKAPEWA MTU WA KUJA?????
JINA LA KIMANDOLU, NGARENARO LEO UKIMWULIZA HUYU MBUNGE ANAJUA MAANA YAKE???
HATUKUBALI TENA KUONGOZWA NA MAKABILA TOFAUTI KABISA.
HUYU MBUNGE HATUMTAKI NA NDANI YA SIKU 25 NA WAPATE MAJIBU YA KWAMBA ATATOKA AMA HATOKI."

MKUTANO MWINGINE UTAITISHWA ITAKAYOTOA MAAMUZI NA KAMA HAWEZI KUONDOAKA TUTAMUONDOA NA NA WACHAGA WENZA WAENDE MOSHI.."
HATUOGOPI VITA TUTAPIGA MPAKA TUHAKIKISHE TUNA BAKI ARUSHA KAMA WALIVYO PIGANIA BABU ZETU NA WALIBAKI ARUSHA

Mungu ibariki Chadema, Mungu ibariki Tanzania...

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ