Washtakiwa watatu kati ya watano waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya
wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ndani ya Benki Kuu
ya Tanzania (BoT) wamehukumiwa kifungo jela baada ya Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu kuwatia hatiani ambapo kati yao ni mke na mume. Kushoto ni
Bahati John amehukumiwa kifungo cha miaka 7 na katikati ni Manase
Mwakale amehukumiwa miaka 5 na mkewe Eddah Mwakale amehukumiwa kifungo
cha mwaka mmoja.
Manase Mwakale akiongea na wakili wake baada ya kuhukumiwa kifiungo cha miaka mitano jela.
Eddah Mwakale akiongea na wakili wake. Kulia ni Mume wake, Manase Mwakale ambaye amehukumiwa kifungo cha miaka 5 jela.
Washtakiwa wakitoka mahakamani baada ya kusomewa hukumu yao.
No comments :
Post a Comment