“Naumwa
jamani, pumu inanisumbua inanitesa sana. Inaponitokea huwa nashindwa
kufanya kabisa kazi zangu za kila siku na vitu vyote huwa vinalala hadi
nitakapopata nafuu,” alisema Jokate kwa tabu.
Hayo ni maneno ya Jokate mwegelo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa mtandao wa GPL hivi karibuni.
Mwanadada huyu amewataka fans na watu wote wenye mapenzi mema wamuombee kwani pumu hiyo kwa sasa imemshika sana.
Pole sana Jokate
Hayo ni maneno ya Jokate mwegelo alipokuwa akizungumza na mwandishi wa mtandao wa GPL hivi karibuni.
Mwanadada huyu amewataka fans na watu wote wenye mapenzi mema wamuombee kwani pumu hiyo kwa sasa imemshika sana.
Pole sana Jokate
No comments :
Post a Comment