Top News

Friday, October 4, 2013

Picha Hili ndilo gari alilopewa Baby Madaha Nchini Kenya baada yakusain mkataba na Candy Records



Picha za mwanamuziki na muigizaji wa Filamu nchini Baby Madaha akiwa nchini Kenya na gari
yake aina ya audi aliyopewa na Record Label ya Candy n’ Candy huko Kenya baada ya kusaini mkataba na kampuni hiyo.

No comments :

Post a Comment

Designed By ApexbnewZ